KILIMO KWANZA :MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI YAKE WILAYANI UKEREWE MKOA WA MWANZA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 11 August 2014

demo-image

KILIMO KWANZA :MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI YAKE WILAYANI UKEREWE MKOA WA MWANZA


Bahati+akitoa+neno+la+shukrani2 
Mama Shujaa wa Chakula 2014  Bahati Muriga akitoa neno la Shukurani Baada ya Kukabidhiwa zawadi yake rasmi wakati wa hafla fupi iliyofanyika Wilaya ya Ukerewe, leo.
Bahati+Muriga+akijaribisha+kuiwasha+pikipiki+yake
Bahati Muriga akijaribisha kuiwasha Pikipiki yake Mara baada ya Kukabidhiwa.
Eluka+Kibona+kutoka+Oxfam+akimkabidhi+ufunguo+wa+pikipiki+Mshindi+wa+Mama+shujaa+wa+chakula
Eluka Kibona (kulia) kutoka Oxfam akimkabidhi ufunguo wa Pikipiki Mshindi wa Mama shujaa wa Chakula.
Bahati+akisaini+makabidhiano+ya+zawadi+zake
 Mama Shujaa wa Chakula 2014 Bahati Muriga akisaini kupokea zawadi zake kutoka OXFAM kupitia Programu ya GROW, Wekeza kwa wakulima wadogo wadogo Inalipa.
Bwana+Hamis+Kombo+muwakilishi+wa+mkuu+wa+wilaya+ya+Ukerewe
Bwana Hamis Kombo mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe akitoa salamu za pongezi kwa Mama Shujaa wa Chakula 2014 pia kuwashukuru OXFAM kwa kutoa zawadi hizo.

Bahati+Muriga+akifurahia+zawadi+zake
 Bahati Muriga akifurahia zawadi zake.
Kulwa+Kizenga+na+Eluka+Kibona+kutoka+Oxfam+wakimkabidhi+zawadi+Bahati+Muriga+
 Kulwa Kizenga wa kwanza kushoto  na Eluka Kibona kutoka OXFAM  wakimkabidhi zawadi Bahati Muriga
Mama+shujaa+na+Mkamiti+Mgawe+JPG
 Mkamiti Mgawe wa kwanza kushoto kutoka OXFAM akiwa na Mama shujaa wa Chakulaa
zawadi
Zawadi alizopokea Mama Shujaa wa Chakula.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *