UTALII NA MATUKIO : TANAPA YAWAKUTANISHA WADAU WA HIFADHI MOROGORO - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Saturday, 26 July 2014

demo-image

UTALII NA MATUKIO : TANAPA YAWAKUTANISHA WADAU WA HIFADHI MOROGORO


IMG_0245
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa, (TANAPA) Allan Kijazi akitoa salamu zake wakati wa ufunguzi wa Warsha ya  Mashirikiano kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa mikoa inayopakana na Hifadhi za Taifa. Mkutano unaofanyika katika Hoteli ya Nashera mkoani Morogoro.
IMG_3303
Mmoja wa washiriki katika Warsha ya Mashirikiano baina ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama na TANAPA,  Mrakibu wa Polisi, Mary Lugola akitoa neno la shukrani kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera mara baada ya kufungua warsha ya viongozi hao .
IMG_3232
IMG_3236
IMG_3237
IMG_3238
IMG_3239
Baadhi ya washiriki katika warsha hiyo wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera alipokuwa akifungua warsha hiyo.
IMG_3288
Baadhi ya waandishi wa habari toka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakichukua matukio muhimu wakati wa ufunguzi wa warsha hiyo.
IMG_3225
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa, Vitalis Uruka akitoa mada juu ya Changamaoto za Uhifadhi katika Kanda ya Kusini na hali halisi.
IMG_3243
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Stephen Qoli akitoa mada juu ya Changamaoto za Uhifadhi katika Kanda ya Kaskazini na hali halisi.
IMG_3273
IMG_3329
Meneja Mawasiliano, TANAPA Pascal Shelutete akitoa mada ya Utaratibu wa kutoa Taarifa kwa Umma juu ya masuala ya Ulinzi na Usalama wa Maliasili na Watalii.
IMG_3241
IMG_3247
IMG_3248
Mshiriki wa warsha hiyo, Franco Kibona akichangia mada katika warsha hiyo.
IMG_3258
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elias Tarimo akichangia mada wakati wa warsha hiyo.
IMG_3261
Mshiriki Abdulla Suleiman akichangia mada katika warsha hiyo.
IMG_3266
Mshiriki Faustine Masalu akichangia mada katika warsha hiyo.
IMG_3353
Mkurugenzi Mkuu TANAPA, Allan Kijazi akichagia mada katika warsha hiyo.
IMG_3321
Washiriki wa warsha hiyo wakiwa katika picha ya pamoja.
IMG_3326
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA, Allan Kijazi pamoja na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP, Leonard Paul mara baada ya ufunguzi wa warsha hiyo.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *