CHADEMA ARUSHA: UCHAGUZI WA CHADEMA JIMBO LA ARUSHA KUFANYIKA LEO, JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Saturday, 26 July 2014

demo-image

CHADEMA ARUSHA: UCHAGUZI WA CHADEMA JIMBO LA ARUSHA KUFANYIKA LEO, JIJINI ARUSHA

B
 Mbunge Mhe. Godbless Lema akiingia kwenye ukumbi kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa majimbo katika Hoteli ya Manor, Sakina Arusha.
C
 Muasisi wa CHADEMA Mzee Edwin Mtei akiingia kwenye ukumbi kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa majimbo katika Hoteli ya Manor, Sakina Arusha.
D
 Mhe. Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini akipata mawili matatu toka kwa mgombea wa nafsi mojawapo Bi. Glory Kaaya ukumbi kabla ya kuanza kwa uchaguzi,katika Hoteli ya Manor, Sakina Arusha.
A




Kushoto ni Seria Tumainiel, Emma, Glory Kaaya wakiwa katika eneo la tukio, kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa majimbo katika Hoteli ya Manor, Sakina Arusha. 

RATIBA
Event: Uchaguzi wa CHADEMA JIMBO LA ARUSHA MJINI
Ukumbi: "MANA HOTEL"-SAKINA, mkabala na SAKINA SUPERMAKERT, Nairobi road
 

Day: Jumamosi 26-07-2014 kuanzia saa 3:00 Asubuhi
Time/Muda: 3:30 Asubuhi-11:30 Jioni.
 

Mada: Uchaguzi wa Viongozi wa Mabaraza & CHAMA ngazi ya Jimbo.
 

Wageni rasmi: Menyekiti wa Taifa Mh.Feeman A.Mbowe &Muasisi wa CHAMA Mzee Edwin Mtey.
 

Wakazi wa Manispaa ya Jiji la Arusha mnakaribishwa sana.
Kwa mawasiliano zaidi; 0753-021761, 0758-976260
Barua pepe: jenimwasha@gmail.com
Hii sio ya kukosa kabisa Makamanda.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *