MATUKIO :Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, asaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi Mdogo wa Malaysia. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 23 July 2014

demo-image

MATUKIO :Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, asaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi Mdogo wa Malaysia.


unnamed+(12)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga, akitia saini katika kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi Mdogo wa Malaysia, kufuatia kutunguliwa kwa ndege ya shirika la Malaysia MH17 na abiria wote 298 kupoteza maisha.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *