ELIMU ZETU :WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI GONJA MHEZA WILAYANI SAME. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 23 July 2014

demo-image

ELIMU ZETU :WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI GONJA MHEZA WILAYANI SAME.


IMG_0120


Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiondoa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa chuo cha Ufundi Gonja-Mheza wilayani Same.
IMG_0131
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria kufungua jengo moja wapo katika chuo cha Ufundi Gonja-Mheza wilayani Same.
IMG_0139
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akitoka katika moja ya jengo katika chuo cha Ufundi Gonja-Mheza muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe kuaashiria kuanza kwa  ujenzi wa chuo cha Ufundi Gonja-Mheza wilayani Same.
IMG_0242
IMG_0248
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiotesha mti katika eneo la ujenzi wa chuo cha Ufundi Gonja-Mheza wilayani Same.
IMG_0101
Mke wa Waziri mkuu,Mama Tunu Pinda akiotesha mti katika eneo la ujenzi wa Chuo cha Ufundi cha Gonja-Mheza wilayani Same.
IMG_0235
Mke wa Waziri mkuu Mama Tunu Pinda akizungumza na wakazi wa Gonja Maore ,wakati waziri mkuu Mizengo Pinda alipofanya ziara ya siku moja kuweka jiwe la msingi katika chuo cha ufundi Gonja Mheza wilayani Same.


IMG_0169
Waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ,Mizengo Pinda akizungumza muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa chuo cha Ufundi Gonja Mheza wialayani Same.
IMG_0174
Mbunge wa jimbo la Same Mashariki ,Anne Kilango akizungumza muda mfupi baada ya waziri mkuu Mizengo Pinda kuweka jiwe la Msingi katika Chuo cha ufundi cha Gonja Mheza.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *