Balozi wa Tanzania Belux na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Uwekezaji na Biashara ya Brussels Bi. Benedicte Wilders (kushoto) na
Mkurugenzi wa Idara ya Kimataifa wa taasisi hiyo Bwana. Philip Feytons.
Balozi Kamala amekutana na viongozi hao leo hii Brussels kuwaomba wahimize
makampuni ya Brussels kushiriki ziara ya kibiashara inayoandaliwa
kufanyanyika Tanzania mwishoni mwa mwaka huu.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
MAFUTA NA GESI NI NGUZO YA UCHUMI WA TAIFA
-
*Sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa*
Na Rashid Mtagaluka.
Tarehe 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe....
Deciphering the Secrets of Tanzanian Wildlife
-
*Summary:* Go beyond the checklist. This blog post breaks down the unique
evolutionary traits found *only* in Tanzania's ecosystem.
We explore...
No comments:
Post a Comment