Balozi wa Tanzania Belux na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Uwekezaji na Biashara ya Brussels Bi. Benedicte Wilders (kushoto) na
Mkurugenzi wa Idara ya Kimataifa wa taasisi hiyo Bwana. Philip Feytons.
Balozi Kamala amekutana na viongozi hao leo hii Brussels kuwaomba wahimize
makampuni ya Brussels kushiriki ziara ya kibiashara inayoandaliwa
kufanyanyika Tanzania mwishoni mwa mwaka huu.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150
-
Benki ya NMB imetangaza udhamini wa Sh milioni 150 kufanikisha msimu wa
nane wa Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi—CDF Cup 2026—yatakayofanyika
Dar e...
Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
No comments:
Post a Comment