Balozi wa Tanzania Belux na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Uwekezaji na Biashara ya Brussels Bi. Benedicte Wilders (kushoto) na
Mkurugenzi wa Idara ya Kimataifa wa taasisi hiyo Bwana. Philip Feytons.
Balozi Kamala amekutana na viongozi hao leo hii Brussels kuwaomba wahimize
makampuni ya Brussels kushiriki ziara ya kibiashara inayoandaliwa
kufanyanyika Tanzania mwishoni mwa mwaka huu.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
TEA YASHIRIKI SIKU MAALUM YA WATAALAMU WA UHASIBU
-
Wadau mbalimbali wakipata Elimu katika banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania
(TEA) wakati wa maonesho kwenye siku maalum ya Wataalamu wa Uhasibu (NBAA
Career...
TEA YASHIRIKI SIKU MAALUM YA WATAALAMU WA UHASIBU
-
Wadau mbalimbali wakipata Elimu katika banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania
(TEA) wakati wa maonesho kwenye siku maalum ya Wataalamu wa Uhasibu (NBAA
Career...
WANANCHI ZANZIBAR WAOMBA MASOKO YA MADINI
-
*Na Mwandishi wetu, **Zanzibar*
*Wananchi wa Zanzibar wameiomba Serikali kupitia Tume ya Madini kuanzisha
masoko na minada rasmi ya madini Visiwani hum...
No comments:
Post a Comment