FILAMU NA MAISHA: MSANII WA FILAMU ELIZABETH MICHAEL "LULU" AFUTURU NA WATOTO YATIMA SINZA, JIJINI DAR - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 18 July 2014

demo-image

FILAMU NA MAISHA: MSANII WA FILAMU ELIZABETH MICHAEL "LULU" AFUTURU NA WATOTO YATIMA SINZA, JIJINI DAR


Screen+Shot+2014-07-18+at+10.27.36+AM
Msanii wa maigizo Elizabeth Diana Michael aka Lulu jana jioni aliwakumbuka watoto yatima wa kituo cha ''Chakuwama'' kilichopo Sinza Meeda na kujumuika nao kwenye #Futari iliyo andaliwa na msanii huyo.. Lulu aliambatana na Mama yake mzazi, Mama Kanumba, Dk. Cheni na watu mbali mbali... Mlezi mkuu wa kituo hicho Bi Saida Hassan amesema wamefarijika sana kuona Lulu amewakumbuka.
Watoto wakipakua futari 
Screen+Shot+2014-07-18+at+10.30.46+AM
Mama Kanumba nae alikuwepo 
 Dr Cheni akipata futari
Screen+Shot+2014-07-18+at+10.30.55+AM
 Lulu akiwa na mmoja wapo wa mtoto wa kituo hicho

Screen+Shot+2014-07-18+at+10.31.28+AM
 Lulu na mama Kanumba wakiteta jambo
Screen+Shot+2014-07-18+at+10.31.45+AM
 Lulu na mdogo wake Eric
Screen+Shot+2014-07-18+at+10.31.55+AM
 Lulu akikabidhi msaada
Screen+Shot+2014-07-18+at+10.32.07+AM

Mama mlezi wa watoto hao Bi. Saida Hassan akizungumza na Lulu. Picha na Bestizzo

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *