SENSA YAZINDULIWA : DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA CHAPISHO LA TATU LA TAARIFA ZA SENSA NA TOVUTI ,JIJINI DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Tuesday 10 June 2014

SENSA YAZINDULIWA : DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA CHAPISHO LA TATU LA TAARIFA ZA SENSA NA TOVUTI ,JIJINI DAR ES SALAAM



 Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake  kabla ya kuzindua Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na Matumizi ya tovuti katika kupata  taarifa mbalimbali kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu J.K.Nyerere jijini Dares Saalam leo.
 Rais Jakaya Kikwete(wa tatu kulia) akizindua Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na Matumizi ya tovuti katika kupata  taarifa mbalimbali kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu J.K.Nyerere jijini Dares Saalam leo.Wengine kwa kwanza kulia ni Kamishna wa Sensa Hajjat Amina  Mrisho   Saidi, wa pili Waziri wa Fedha Saada Salum Mkuya na kushoto wa kwanza ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seid Ali Iddi wa   pili ni Mwakilishi wa UNFPA Mariam Khan na watatu ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Rais Jakaya Kikwete akizindua  tovuti kwa ajili ya kupata  taarifa mbalimbali kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu J.K.Nyerere jijini Dares Saalam leo.
Picha zote na Magreth Kinabo na Maelezo

No comments:

Post a Comment