Mabanda ya wamachinga eneo la Soko
Karume yanaungua na moto. Moto bado ni mkali, unazidii kusambaa na sasa
unaelekea Breweries. Usipothibitiwa Mapema utaleta athari kubwa sana.
Hali bado ni tete, Fire walifika katika eneo la tukio na sasa wanaondoka
bada ya kukubali kushindwa, hakuna wanachoweza kuokoa. Nguzo za umeme
zinaungua pia. Kuna umati wa watu mkubwa, baadhi wanalia kwa uchungu
wakiwa wamejishika kwa kukata tamaa.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
The blur of gold. The rush of the hunt.
-
Stop watching the documentary.
*Start living it.*
At Tarangire, we don’t just show you the cheetah—we put you in its world.
Experience the W...
SERIKALI YAHIMIZA WANANCHI KUPATA ELIMU YA FEDHA
-
Kaimu Kamishna wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha,
Bi. Dionisia Mjema (Katikati), akizungumza katika mkutano na wanahabari wa
Jiji...
No comments:
Post a Comment