MAZISHI YA MAMA YAKE NA ZITTO KABWE :TASWIRA YA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI MHE. ZITTO KABWE - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Tuesday 3 June 2014

MAZISHI YA MAMA YAKE NA ZITTO KABWE :TASWIRA YA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI MHE. ZITTO KABWE


KIG7Mchana wa June 02 ndiyo yamefanyika mazishi ya mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe Bi.Shida Salum ambaye alifariki ,Mei 01/2014 Jijini Dar es salaam , kisha akasafirishwa kwa ajili ya kwenda kuzikwa Kigoma.
Mazishi yamefanyika saa 9 alasiri.
KIG10
Baadhi ya viongozi walikuja kuhani msiba wa mama yake mzazi na Mhe. Zitto Kabwe


KIG7
Mwili wa mama yake na Mh. Zitto Kabwe ukiwekwa chini

KIG6
Baadhi ya waombolezaji wakilia kwa uchungu




KIG2
Baadhi ya viongozi wakimpa pole Mhe. Zitto Kabwe

KIG1
Mhe. Zitto kabwe katika hali ya majonzi kwa kufiwa mama mzazi Bi. Shida Salum

10341457_725779150817492_6030092353598289884_n
Sehemu alimozikwa mama mzazi wa Mhe. Zitto Kabwe

Blogu ya Wazalendo 25 Blog ina mpa Pole sana Mheshimiwa Mbunge wa Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe kwa kufiwa na mama yake mzazi, Mungu ailaze roho ya mama  Zitto Kabwe mahali Pema. Amen

No comments:

Post a Comment