MATATIZO NDANI YA UVUVI :BALOZI IDDI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KIVUNGE NA TUMBATU KUHUSU MATATIZO YA UVUVI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 6 June 2014

demo-image

MATATIZO NDANI YA UVUVI :BALOZI IDDI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KIVUNGE NA TUMBATU KUHUSU MATATIZO YA UVUVI


620
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kivunge kuhusu hitilafu za uvuvi kati ya Kijiji hicho na Tumbatu katika uwanja wa michezo wa Good Hope Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unaguja. Kushoto ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Nd. Haji Juma haji na Katibu wa mkoa Huo Bibi Caterina.
616
 Umati wa wananchi wa Kivunge wakisikiliza nasaha za Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif hayupo pichani kwenye mkutano wa kutathmini hitilafu iliyojitokeza ya uvuvi kati ya wananachi wa Kivunge na Tumbatu.
608
 Mwakilishi wa Wananchi wa Kijiji cha Kivunge Bwana Sharifu Kombo Sharifuakitoa Taarifa ya tukio la kuchomwa moto kwa chombo cha Uvuvi cha wavuvi wa Kijiji hicho Kisiwani Tumbatu Mapema Mwaka huu.
609
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Nd. Haji Juma Haji akiwaasa wananchi wa Kivunge kujiepusha na cheche zinazopenyezwa na baadhi ya watu kwenye migogoro yao ya kijamii hapo uwanja wa michezo wa Good Hope Mkwajuni. Picha na Hassan Issa wa – OPMR – ZNZ.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *