WIZARA YA MAMBO YA NJE :BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

28 May 2014

WIZARA YA MAMBO YA NJE :BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasilisha Bungeni  Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2014/2015 mjini Dodoma tarehe 27 Mei 2014
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Rajabu Gamaha (wa kwanza kulia) pamoja na Mke wa Waziri, Mama Dorcas Membe na Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Balozi Mohammed Maundi wakifuatilia kwa makini Hotuba ilikuwa ikitolewa na Mhe. Membe (hayupo pichani) Bungeni.






Baadhi ya Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wakifuatilia hotuba ya Mhe. Membe

Watendaji  kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wakifuatilia hotuba.
Watendaji wengine kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wakifuatilia Hotuba ya Mhe. Membe.
Wajumbe wakimsikiliza Mhe. Membe






Mhe. Membe akiongozana na Mhe. Wenje kutoka Bungeni mara baada ya kipindi cha mchana kumalizika.


Mhe. Membe akimtambulisha Mhe. Wenje kwa Balozi wa DRC hapa nchini Mhe. Juma Mpango
Mhe. Membe katika picha ya pamoja na wanafunzi aliowaalika  kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini 


Mhe. Maalim akifurahia jambo na Mhe. John Shibuda (Mb.)
Mhe. Membe akipongezwa na Mkewe Mama Dorcas mara baada ya Bunge kupitisha Hotuba ya Wizara
Picha ya Pamoja 

Baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633