Wataalam kutoka sehemu mbalimbali wakiwa kwenye picha ya kwanza mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya namna ya uandishi bora wa taarifa za kina (thematic reports) zinazotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, ambapo mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa SG Northern Resort uliopo Jijini, Arusha.
NMB yatwaa tuzo baada ya kuikabidhi Serikali gawio la Sh96.9 bilioni-
-
BENKI ya NMB imetunukiwa tuzo ya mchangiaji bora wa gawio baada ya
kuikabidhi Serikali Sh96.9 bilioni, ikiwa ni utambuzi wa mchango wake
katika kuongeza ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment