Wataalam kutoka sehemu mbalimbali wakiwa kwenye picha ya kwanza mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya namna ya uandishi bora wa taarifa za kina (thematic reports) zinazotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, ambapo mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa SG Northern Resort uliopo Jijini, Arusha.
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA VIJANA KATIKA ELIMU, UJASIRIAMALI NA AJIRA
-
Na. Ramadhani Kissimba na Saidina Msangi, WF, Mwanza.
Serikali imewahakikishia vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali
nchini kuwa itaendelea kui...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment