Wataalam kutoka sehemu mbalimbali wakiwa kwenye picha ya kwanza mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya namna ya uandishi bora wa taarifa za kina (thematic reports) zinazotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, ambapo mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa SG Northern Resort uliopo Jijini, Arusha.
RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA SADC ORGAN KWA NJIA YA MTANDAO
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
ambae pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya
Maend...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment