KUMBU KUMBU ZA KARUME :RAIS JAKAYA, MAKAMU WAKE DKT. BILAL WASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMBUKUMBU YA KARUME MJINI ZANZIBAR - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Tuesday, 8 April 2014

demo-image

KUMBU KUMBU ZA KARUME :RAIS JAKAYA, MAKAMU WAKE DKT. BILAL WASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMBUKUMBU YA KARUME MJINI ZANZIBAR

IMG_3854+(1)


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kushoto, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein wa pili, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Kaimu Mufti wa Zanzibar, wakiwa pamoja na wananchi wa Zanzibar katika Dua ya ya kukumbuka kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika Aprili 07, 2014 Ofisi Kuu ya CCM Kiswandui mjini Zanzibar.
IMG_3839
 Wake wa Viongozi wakiwa katika Dua maalum ya kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika April 07-2014 Ofisi Kuu ya CCM Kiswandui mjini Zanzibar.
IMG_3844
 Baadhi ya Viongozi na Wananchi wa Zanzibar, wakijumuika pamoja kwenye Dua maalum ya kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika leo katika Ofisi Kuu ya CCM Kiswandui mjini Zanzibar.
IMG_3857
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kushoto), Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein (wa tatu kutoka kushoto), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Kaimu Mufti wa Zanzibar, wakiwa pamoja na wananchi wa Zanzibar katika Dua ya ya kukumbuka kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika leo Ofisi Kuu ya CCM Kiswandui mjini Zanzibar.
IMG_3916
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kushoto, akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Viongozi mbalimbali nje ya Jengo la Ofisi ya CCM Kiswandui mara baada ya kumalizika Dua maalum ya kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika Ofisi Kuu ya CCM Kiswandui mjini Zanzibar.
IMG_3928
Wake wa Viongozi waliohudhuria dua hiyo maalum. Picha na OMR

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *