
Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa Makini Mzee Hussein
Mwindadi ambaye ni Baba wa Diwani wa Kata ya Mkange.

Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akitaniana na Mzee Nassor Samnamwanja
wa Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.


Wakazi
wa Kijiji cha Manda Mazingara wakiwa wameshika mabango ya Mgombea
Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati walipokuwa wakimkaribisha
Kijijini kwao.


Kikundi cha Kwaya ya Kijiji cha Manda Mazingara kikitoa Burudani.

wakisikiliza jambo kwa Makini.Picha na Othman Michuzi
No comments:
Post a Comment