MFUKO BORA WA JAMII : WAJUMBE WA BODI YA NSSF WAVUTIWA NA TEKNOLOJIA YA UTENGENEZAJI WA KADI YA MWANACHAMA NSSF - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


5 Mar 2014

MFUKO BORA WA JAMII : WAJUMBE WA BODI YA NSSF WAVUTIWA NA TEKNOLOJIA YA UTENGENEZAJI WA KADI YA MWANACHAMA NSSF

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi, ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS' ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi, ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS' ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo.Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi. 
Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi.Mmoja wa wafanyakazi wa NSSF tawi la Ilala (katikati) aliyezungukwa akitoa maelezo namna Mobile POS inavyorahisisha kazi ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa NSSF kwa muda mfupi. Mmoja wa wafanyakazi wa NSSF tawi la Ilala (katikati) aliyezungukwa akitoa maelezo namna Mobile POS inavyorahisisha kazi ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa NSSF kwa muda mfupi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad