Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye
kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi,
ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo
iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS'
ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo.
Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi.
LST YASHIRIKI KAMPENI YA MAMA SAMIA YA MSAADA WA KISHERIA
-
Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) imeshiriki
kutoa huduma ya msaada wa kisheria kwenye Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya
Mama Sami...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment