Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye
kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi,
ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo
iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS'
ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo.
Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi.
WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
-
*Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja
(smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya
manun...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment