Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye
kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi,
ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo
iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS'
ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo.
Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi.
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA SADC WATEMBELEA TMA KUKAGUA NA KUKABIDHI VIFAA VYA
HALI YA HEWA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka
Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jum...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment