Mtoto
wa Marehemu Mkwawa alikuwa anakanusha taarifa kuhusu Yeye Kuunga Mkono
Chadema,Amesema hawezi kuunga Mkono chama ambacho hakieleweki kuanzia
muundo wake na hata maamuzi yake ndani ya Chama.Yeye ni MwanaCCM damu
damu,na ameapa atafia CCM.
WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
-
*Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja
(smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya
manun...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment