AFRIKA MASHARIKI :BENKI YA DUNIA YAZINDUA UTAFITI JUU YA ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI, JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

18 Feb 2014

AFRIKA MASHARIKI :BENKI YA DUNIA YAZINDUA UTAFITI JUU YA ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI, JIJINI ARUSHA

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera akifungua mkutano wa uzinduzi wa ripoti ya kipimo cha mafanikio ya Itifaki ya Soko la Pamoja leo jijini Arusha


Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera akimkabidhi mmoja wa viongozi kutoka Kenya ripoti hiyo.


 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera(kulia)akipokea sehemu nakala za ripoti kutoka Media Cordinator wa EAC,Florian Mutabazi
Naibu Katibu Mkuu(siasa)Charles Njoroge na Naibu Katibu Mkuu(Uzalishaji) wakifatilia ripoti hiyo

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera(wa tatu kushoto)akiwa na viongozi mbalimbali wakati wa uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633