MALIASILI NA UTALII :DKT. GHARIB BILAL AZUNGUMZA NA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHE. LAZARO NYALANDU NA NAIBU WAKE ,IKULU - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


27 Jan 2014

MALIASILI NA UTALII :DKT. GHARIB BILAL AZUNGUMZA NA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHE. LAZARO NYALANDU NA NAIBU WAKE ,IKULU


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyarandu na Naibu wake, Mohamed Mgimwa, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Jan 27, 2014.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad