ZITTO KABWE : WANANCHI WA KIGOMA WALIVYOMPOKEA KWA MAANDAMANO MAKUBWA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Dec 2013

ZITTO KABWE : WANANCHI WA KIGOMA WALIVYOMPOKEA KWA MAANDAMANO MAKUBWA

 Mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema  akisalimiana na mamiaaaaa ya wanakigoma muda mfupi baada ya kuwasili na kupokelewa na maandamano makubwa mjini kigoma.
  Sehemu ya Vijana wakiandaman kwa furaha muda mfupi baada ya kumpokea mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema Zitto Kabwe muda mfupi baada ya kuwasili kigoma.
 
 Baaadhi ya Madreva bodaboda mkoani kigoma wakiongoza msafara wa mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema Zitto Kabwe muda mfupu baada ya kuwasili
  Sehemu ya Vijana wakiandaman kwa furaha muda mfupi baada ya kumpokea mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema Zitto Kabwe muda mfupi baada ya kuwasili kigoma.
 Mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema Zitto Kabwe(wa tatu kulia)akilakiwa na baadhi ya viongozi wa chadema mkoani Kigoma muda mfupu baada ya kuwasili na kupokewa na maandamano makubwa
 Mbunge wa kigoma kaskazini -chadema Zitto Kabwe Akihutubia maelefu ya wananchama na wapenzi wa chadema muda mfupi baada ya kuwasili mkoni kigoma na kupokelewa kwa maandamano makubwa. Kwa picha Zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad