SIMBA NA YANGA: SIMBA SPORTS CLUB YAICHAPA YANGA 3 -1, NA KUWA BINGWA WA NANI MTANI JEMBE - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Dec 2013

SIMBA NA YANGA: SIMBA SPORTS CLUB YAICHAPA YANGA 3 -1, NA KUWA BINGWA WA NANI MTANI JEMBE

Wachezaji wa Simba na baadhi ya viongozi wao wakipozi na kombe lao kwa furaha baada ya kukabidhiwa kombe hilo kwa kuifunga Yanga katika mchezo wa Nani Mtani Jembe, uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Simba wameibuka washindi kwa.kuichapa Yanga mabao 3-1, mabao ya Simba yalifungwa na Hamis Tambwe mawili na Ramadhan Singano huku la kufutia machozi la Yanga likifungwa na Emmanuel Okwi.
 Kiongozi wa Simba Hans Pope, akimpongeza Henry Joseph, baada ya mchezo huo.
 Meneja wa Yanga, Afidh Ally akipokea mfano wa hundi ya zaidi  sh. 98 milioni Kwa kuibuka washindi katika shindano la Nani Mtani Jembe kwa kupata kura nyingi katika unywaji wa bia ya Kilimanjaro.Picha Zote na Muhidin Sufiani

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad