Soma Bango hilo, wafuasi wa CHADEMA jijini Arusha ,walioambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Bw. Amani Salenga wakionyesha bango hilo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) ,wakidai kuwa Mbunge Lema ndie chanzo cha vurugu kwenye Chama kwa kuanzisha kikundi cha vijana ambacho kimekuwa tishio kwa wale wanaojaribu kupingana na sera za Mbunge huyo. pia wamedai kuwa Arusha kwa sasa CHADEMA imegawanyika katika makundi mawili, amabyo ni CHADEMA ASILI na CHADEMA FAMILY.
Uchukuzi : Naibu Waziri David Kihenzile Ashiriki Mkutano wa Kimataifa wa
Masuala ya Uchukuzi Nchini Afrika Kusini
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa
wa masuala ya Uchukuzi (NCT), mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa
Gallagher E...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment