Jina langu ni Cosmas Hans Moses(22) na dada yangu anaitwa Aneth Hans Moses(24), kwa sasa naishi mwanza.. Ninaemtafuta ni Baba yetu mzazi anaitwa Hans Moses Mwakyusa, zamani alikua anaishi Kiabakari Musoma vijijini na huko ndiko tulikopotezana mimi nikiwa mdogo kabisa kwa hiyo simfaham hata nikimuona... Kwa sasa nasikia anaishi Kyela Mbeya pia ni mfanya biashara ila cjui anafanya biashara gani.Naomba msaada wenu ili niweze kuonana tena na baba yangu mzazi mawasiliano yangu ni 0765-684572
CRDB YAJAYO NI "NEEMA" TU,KASI YAKE YA UKUAJI NI ASILIMIA 30 HADI 40 KWA
MWAKA.
-
Na.Ashura Mohamed -Arusha
Benki ya CRDB nchini imesema kuwa imefanikiwa kupandisha mapato
yasiyotokana na Mikopo ambayo kwa mwaka 2024 yalikuwa chini to...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment