Naibu Waziri wa Madini,Stephen Masele akihutubia wadau wa madini leo
kwenye hoteli ya Mount Meru jijini Arusha wakati akifungua maonesho ya
pili ya madini aina ya Vito.
Wadau wa sekta ya madini kutoka ndani na nje ya nchi wakifuatilia hotuba ya Naibu Waziri Masele kwa umakini.
Naibu Waziri wa Madini,Stephen Massele(kulia) akizungumza na
mfanyabiashara madini nchini,Dk Anthony Frisby katika hoteli ya Mount
Meru jijini.
Wafanyabiashara wakiangalia madini ya aina mbalimbali kutoka kwa wafanyabiashara wa DRC
Naibu Waziri wa Madini,Stephen Massele akimsikiliza Mwenyeikiti wa
TAMIDA,Sammy Mollel wakati akitembelea mabanda ya wauzaji kwenye hoteli
ya Mount Meru jijini Arusha .
Madini ya Tanzanite ambayo huchimbwa nchini Tanzania pekee katika machimbo ya Mererani mkoa wa Manyara.
Naibu Waziri wa Madini,Stephen Massele(kulia)akisalimiana na Afisa
Uhusiano Mwandamizi wa Arusha Techinical College,Gasto Leseiyo,Chuo
hicho kinatoa mafunzo ya Uchakataji madini na kutoa wataalamu
wanaokubalika katika soko la ajira.Picha Zote na
www.rweyemamuinfo.blogspot.com
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Which Animal Rules the Savanna with Pure Speed?
-
It’s not the lion. It’s not the gazelle it hunts.
It’s a blur of power, purpose, and raw acceleration.
It's the *CHEETAH*.
Witness the fastest land a...
No comments:
Post a Comment