| Mmiliki wa mtandao wa mzee wa matukio daima akimkabidhi tuzo maalum kijana huyo baada ya kumfadhili mapokezi yake mkoa wa Iringa |
| Ofisa wa Sumatra mkoa wa Iringa na afisa biashara wa Manispaa ya Iringa Bw. Majaliwa akimpongeza kijana huyo |
| Mapokezi ya kijana huyo mjini Iringa |
| Naibu meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Gervas Ndaki akimpongeza kijana huyo kwa uzalendo |
No comments:
Post a Comment