MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA(TCRA) YAENDELEA KUWATAMBUA BLOGGERS WA TANZANIA,KWA KUWAPA SEMINA YA SIKU MBILI JIJINI DAR ES SALAAM. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 20 September 2013

demo-image

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA(TCRA) YAENDELEA KUWATAMBUA BLOGGERS WA TANZANIA,KWA KUWAPA SEMINA YA SIKU MBILI JIJINI DAR ES SALAAM.

Picture+016
Picture+143 ANKAL Michuzi akiwa na Prof John Nkoma  DG/TCRA na Innocent Mungy MCC/TCRA wakati wa mapumziko mafupi kwenye mafunzo mafupi ya Bloggers wa Tanzania
9
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akiwasilisha mada ya kwanza juu ya Ukubwa wa Sekta ya Mawasiliano hapa nchini wakati wa Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa nchini,iliyoanza rasmi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
3
 Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy akifafanua jambo wakati wa Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa nchini,iliyoanza rasmi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
18
Mkurugenzi wa Sekta ya Wachangiaji na Watoa Huduma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),Dkt. Raynold Mfungahema akiwasilisha mada wakati wa Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa nchini,iliyoanza rasmikwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
6
 Sehemu ya Wapiga Picha kutoka Vyombo mbali mbali vya habari wakiendelea na zoezi la kuchukua matukio mbali mbali wakati wa Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers) hapa nchini,iliyoanza rasmi leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
1
12
13
14
15
16
19
21
22
 Baadhi ya Bloggers mbali mbali hapa nchini  wakiwa kwenye Warsha hiyo ya siku mbili iliyoanza rasmi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Picture+023
Mkurugenzi Mkuu wa Jamii Forum Maxence Melo akielezea changamoto walizokutana nazo katika uendeshaji wa mtandao wa Jamii Forums
Picture+047
Wakurugenzi wa Jamii Forums kutoka (kushoto) Mike Mushi na Maxene Melo wakiwa katika mafunzo maalumu kwa Bloggers wa Tanzania, mafunzo yaliyo wezeshwa na TCRA
Picture+033
Mama Pili Mtambalike kutoka Baraza la Habari Tanzania (MCT)na Innocent Mungy wakijadili jambo katika mafunzo kwa Bloggers wa Tanzania
Picture+041
Jeff Msangi wa Bongo Celebrity akishukuru kwa niaba ya Bloggers wa Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA kutambua mchango wa Bloggers katika maendeleo ya nchini katika nyanja za  kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Picture+020
Jeff Msangi akichangia jambo katika warsha ya siku mbili ya Bloggers na wakurugenzi wa mitandao ya kijamii nchini, iliyowezeshwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Picture+007
Freddy  wa Tone Multimedia Company na Joseph Mwaisango wa Mbeya Mbeya Yetu wakifuatilia kwa karibu warsha hiyo.
Picture+052
Baadhi ya Bloggers wa Tanzania
Picture+002

15
DJ Choka akiuliza swali kwa watoa mada
Picture+018
Jestina George akichangia Mada
Picture+022
Mdimu akichangia mada
Picture+021
Sinta akichangia mada
20
 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Prof. John Nkoma, akimkabidhi Cheti cha kuhitimu mafunzo ya siku mbili,mmiliki wa mtandao  wa Sufianimafoto, Muhidin Sufiani, baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, yaliyoanza Septemba 17 na kumalizika septemba 18 jijini Dar es Salaam, huku yakiwashirikisha wamiliki wa magazeti tando (bloggers) mbalimbali kutoka mikoa tofauti ya nchini.
MMG25688
 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Prof John Nkoma akimkabidhi Cheti Mmiliki wa Blog ya Lukaza, Josephat Lukaza mara baada ya kumaliza mafunzo ya siku mbili yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), mafunzo ambayo yalianza jana Septemba 17 na kumalizika Septemba 18 jijini Dar Es Salaam
26
  Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania, Prof. John Nkoma, akimkabidhi Cheti cha kuhitimu mafunzo ya siku mbili,mmiliki wa mtandao wa Bongo Celeblate, Jeff Msangi, baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano, yaliyoanza jana Septemba 17 na kumalizika jijini Dar es Salaam, huku yakiwashirikisha mabloger mbalimbali kutoka mikoa tofauti ya nchini.
25
 Othman Michuzi, akipokea cheti.
24
 Shamim Mwasha, akipokea cheti.
27
 Cathbert Kajuna, akipokea cheti...
21
 Dj Choka, akipokea cheti.
22
 Maxence Melo, kipokea cheti.
28
 Sinta, akipokea cheti.
1
 Mmiliki wa Mtandao wa Sufianimafoto, Muhidin Sufiani (kulia) akiwa na mmiliki wa Mtandao wa Bongo Celeblate, Jaff Msangi, wakati wa semina maalum kwa wamiliki na waendeshaji wa mitandao pendwa Bloggers, iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano TCRA, iliyoanza jijini Dar es Salaam. 
2
 Mmiliki wa Mtandao wa Mbeya Yetu, Joseph Mwaisango, akichangia moja ya mada zilizokuwa zikitolewa katika semina hiyo.
3
 Innocent Mungy wa TCRA, akizungumza wakati wa mafunzo hayo.....
4
 Jestina george, akichangia mada
5
 Jeff Msangi, akichangia mada.
6
 Maxence, akichangia mada.
8
 Mtoa mada, Liz wachuka, akitoa mada...
9
 Sehemu ya waliohudhuria semina hiyo...
10
 Mafunzo yakiendelea 
11
 Mike Mushi, wa jamii forum, akitoa mada
12
 Mablogger, wakiwa makini kunasa kila kinachozungumzwa.
13
14
16
 Mtoa mada, Dotto Kuhenga, akitoa mada
17
 Mtoa mada, Pili Mtambilike, akitoa mada
18

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *