BASI la Meridian linalofanya safari zake Dar es Salaam na Rombo limepata ajali mbaya eneo la Mbwewe Bagamoyo mkoani Pwani likiwa safarini kuelekea jijini Dar es Salaam likitokea Rombo. Abiria kadhaa wamepoteza maisha katika ajali hiyo japo idadi kamili bado haijafahamika. Chanzo: Jamii Forum
BASI la Meridian linalofanya safari zake Dar es Salaam na Rombo limepata ajali mbaya eneo la Mbwewe Bagamoyo mkoani Pwani likiwa safarini kuelekea jijini Dar es Salaam likitokea Rombo. Abiria kadhaa wamepoteza maisha katika ajali hiyo japo idadi kamili bado haijafahamika. Chanzo: Jamii Forum
No comments:
Post a Comment