Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano
wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa
Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission-JPC)
kati ya Tanzania na India unaofanyika katika Hoteli ya Hyatt
Regency-Kilimanjaro kuanzia tarehe 08 hadi 09 2013. Mkutano huo
unaowashirikisha Wadau kutoka sekta mbalimbali za hapa nchini na India
utajadili pamoja na mambo mengine masuala ya ushirikiano katika sekta za
Uchumi, Ufundi, Sayansi na Teknolojia, Elimu, Afya, Utalii, Kilimo na
Nishati na Madini.
MVUTANO VYAMA VYA WAFANYAKAZI KIKWAZO VIKAO BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA
ARDHI
-
*Na Mwandishi wetu- Morogoro*
Vikao vya baraza la Wafanyakazi vya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeelo ya
Makazi havikufanyika kwa wakati kama ilivyp...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment