DR. ASHA R. MIGIRO AONGOZA MATEMBEZI YA HISANI KUHAMASISHA UCHANGIAJI WA FEDHA KWA AJILI YA KUTOKOMEZA FISTULA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 10 June 2013

demo-image

DR. ASHA R. MIGIRO AONGOZA MATEMBEZI YA HISANI KUHAMASISHA UCHANGIAJI WA FEDHA KWA AJILI YA KUTOKOMEZA FISTULA

.com/blogger_img_proxy/ 
Dr. Asha Rose Migiro Kushoto Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa Chama cha Mapinduzi CCM akishiriki mazoezi kabla ya kuanza kwa matembezi hayo, kutoka kulia ni Dr. Aloyce Nzuki Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB, Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafia na mjube wa bodi ya wakurugenzi ya TTB Kihara Maina Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays .com/blogger_img_proxy/Dr. Yasin akiongoza mazoezi kabla ya kuanza kwa matembezi hayo jumamosi. .com/blogger_img_proxy/Dr. Asha Rose Migiro Kushoto Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa Chama cha Mapinduzi CCM akishiriki mazoezi kabla ya kuanza kwa matembezi hayo yaliofanyika jumamosi  kutoka kulia ni Dr. Aloyce Nzuki Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB, Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafia na mjube wa bodi ya wakurugenzi ya TTB, Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi TTB Baozi Charles Sanga na Kihara Maina Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays
.com/blogger_img_proxy/Yakielekea kumalizika rasmi .com/blogger_img_proxy/Ikawa ni kupasha mwili baada ya kumalizika kwa matembezi hayo .com/blogger_img_proxy/Mmoja wa walemavu alishiriki bega kwa bega katika matembezi hayo hapa akiwa anafanya mazoezi.
tedyMkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Montage,Bi. Teddy Mapunda mara baada ya kupokea cheti cha shukrani kwa kufanikisha shughuli hiyo.
3-1
 Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Redio One, Bi. Joyce Mhaville akipokea cheti cha shuklrani kutoka kwa Mgeni rasmi. kwa hisani ya Father Kidevu Blog

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *