MATUKIO YA IBADA YA UFUNGUZI WA KANISA LA OLASITI ,BOMU NA MAJERUHI WALIOADHIRIKA JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

6 May 2013

MATUKIO YA IBADA YA UFUNGUZI WA KANISA LA OLASITI ,BOMU NA MAJERUHI WALIOADHIRIKA JIJINI ARUSHA

Kwaya ya kimaasai wakiwa kwenye msafara wa uzinduzi wa kanisa la olasiti
Muonekano wa kanisa la mt. Joseph Olasiti Arusha




Umati wa watu uliofurika kwenye ufunguzi wa kanisa la mt. Joseph Olasiti Jijini Arusha.





Baba Askofu Joseph Lebulu akiyabariki maji na chumvi kabla ya ufunguzi wa kanisa la mt. Joseph Olasiti Jijini Arusha.


Maaskofu wakitulia kwa mshangao baada ya mlipuko wa bomu katika kanisa la mt. Joseph Olasiti Jijini Arusha.









Majeruhi wakiwa katika hospitali ya mt. Meru jijini Arusha.



No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633