
Namelok Sokoine ni binti wa hayati Moringe Sokoine ambaye ni mfano wa kuigwa na wanawake wote nchini kwa kusimama kidete katika maandalizi ya kumbu kumbu za baba yake, aliyefariki mnamo tarehe 12/4/1984 kwa ajali ya gari wakati huo akiwa ndiye Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Sikiliza Sauti ya Namelok Moringe Sokoine Hapa
No comments:
Post a Comment