Meneja Biashara wa Nokia Nchini
Tanzania Samson Majwala, Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde na
menjeja masoko wa Airtel Edwin Byampanju kwa pamoja wakionyesha simu za
rangi tofauti za Nokia Lumia 620 wakati wa wakati wa uzinduzi wa Nokia
Lumia 620 kwa ushirikiano kati ya Airtel na Nokia utakaowawezesha
wateja wa Airtel na watanzania kupata simu ya Nokia Lumia 620 yenye
technologia ya kisasa na offa kabambe ya Muda wa Maongezi wa dakika
275, sms bila kikomo na internet ya 3GB kwa muda wa mienzi mitatu.
Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane
Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa simu Nokia Lumia 620 ,
ushirikiano kati ya Airtel na Nokia utakaowawezesha wateja wa Airtel na
watanzania kupata simu ya Nokia Lumia 620 yenye technologia ya kisasa na
offa kabambe ya Muda wa Maongezi wa dakika 275, sms bila kikomo na
internet ya 3GB kwa muda wa mienzi mitatu. Kwa picha zaidi bofya hapa >>>
RAIS DK.SAMIA HAUNA DENI NA WANA TANGA, “MITANO TENA”
-
Na Mwandishi Wetu
RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan huna deni na watu wa Mkoa wa Tanga! Hivyo
ndivyo tunaweza kuelezea kutokana na kasi kubwa ya maendeleo iliyo...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment