Mjumbe
wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Dkt. Salim Ahmed Salim (kulia)
akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu
Katiba Mpya kilichofanyika (jumanne Machi 26, 2013) katika Ofisi za
Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Prof. Mwesiga
Baregu (katikati) na Suleiman Ali.
Mjumbe
wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphery Polepole (aliyesimama)
akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu
Katiba Mpya kilichofanyika katika Ofisi za
Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Simai Mohammed na
Dkt. Adrian Sengondo Mvungi.
No comments:
Post a Comment