WAJUMBE WA TUME YA KATIBA WAENDELEA NA UCHAMBUZI WA MAONI YA WANANCHI KUHUSU KATIBA MPYA. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


27 Mar 2013

WAJUMBE WA TUME YA KATIBA WAENDELEA NA UCHAMBUZI WA MAONI YA WANANCHI KUHUSU KATIBA MPYA.

1.Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Dkt. Salim Ahmed Salim (kulia) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika (jumanne Machi 26, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Prof. Mwesiga Baregu (katikati) na Suleiman Ali.
5.Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphery Polepole (aliyesimama) akizungumza  wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Simai Mohammed na Dkt. Adrian Sengondo Mvungi.
6.Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani (kulia) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya.Kushoto ni Mjumbe wa Tume, Dkt. Salim Ahmed Salim.Kwa hisani ya Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad