Mwenyekiti wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akizungumza katika mkutano
na waandishi wa vyombo vya habari aliokutana leo katika ofisi za Tume
hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji
Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani.Picha na Tume ya Mabadiliko ya Katiba
UJUMBE WA KATIBU MKUU WA TRAMEPRO KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA
FIGO – 12 MACHI 2026
-
Kwa niaba ya Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO),
napenda kuungana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na
jumuiya ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment