MAREHEMU JUMA KILOWOKO 'SAJUKI' APUMZISHWA KATIKA MAKABURI YA KISUTU DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 4 January 2013

demo-image

MAREHEMU JUMA KILOWOKO 'SAJUKI' APUMZISHWA KATIKA MAKABURI YA KISUTU DAR ES SALAAM

11-1
Mwili wa Marehemu Sajuki ukipakiwa kwenye gari
sajuki

 Waombolezaji wa Msiba wa Msanii wa Filamu hapa nchini Marehemu  Sadick Juma Kilowoko wakibeba jeneza lenye mwili wake tayari kwa taratibu za kwenda Mazikoni, wakitokea Nyumbani kwa Marehemu Tabata Bima.
Mwili wa Marehemu Sajuki ukipakiwa kwenye gari
9
Dua ikisomwa kabla ya kuondoka kwa Mwili wa Marehemu kwenda mazikoni.

2
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania,Saimon Mwakifwamba akimpokea Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe alipokuwa akiwasili msibani hapo
4

1
7
6
8
3
Pamoja na mvua kubwa kunyesha haikuzuia watu kufika kwa aajili ya kuomboleza kifo cha Marehemu sajuki
282920_387568491334770_57814504_nWaombolezaji wakiwa wanajifunika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar

12

47625_10151397964708792_434855487_n
 Sehemu ya waliohudhuria msiba wa Sajuki katika makaburi ya Kisutu 
9473_10151397941793792_1154543586_n
Wadau mabali mbali wakisubiria mwili wa Marehemu Sajuki, huku Profesa Jay akionekana kwa mbali miongoni mwa wanaousubiri mwili.
421101_10151397938393792_882564767_n
Umati wa watu ukiwa makaburini Kisutu Dar
65179_10151397953393792_2105052635_n
 Mwili wa marehemu Sajuki ukiwasili katika makaburi ya Kisutu tayari kwa mazishi
185746_10151397978828792_1907642431_n
Hapa ndipo Marehemu Sajuki amepumzishwa. MUNGU AMLAZE SAJUKI MAHALI PEMA. AMEEN

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *