| Huyu ni mtoto Glory Gadiel.........!!! ,ni mtoto wa CEO wa wazalendo 25 blog ,leo ametimiza Mwaka mmoja toka azaliwe. Mungu wa mbinguni amtunze ,kumpa afya na kumkuza katika Jina la Yesu. mimi baba yako na Mama yako Tunakupenda sana na tuna ahidi kukulea katika malezi mema na yenye kumtukuza Mungu. HAPPY BIRTH DAY GLORY..!!! |
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment