| Huyu ni mtoto Glory Gadiel.........!!! ,ni mtoto wa CEO wa wazalendo 25 blog ,leo ametimiza Mwaka mmoja toka azaliwe. Mungu wa mbinguni amtunze ,kumpa afya na kumkuza katika Jina la Yesu. mimi baba yako na Mama yako Tunakupenda sana na tuna ahidi kukulea katika malezi mema na yenye kumtukuza Mungu. HAPPY BIRTH DAY GLORY..!!! |
MAPACHA WATANO WAZALIWA MUHIMBILI; HOSPITALI KUGHARAMIA GHARAMA ZOTE ZA
MATIBABU
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia nyingine baada ya
jopo la madaktari bingwa na wataalamu wa afya kufanikisha salama uzazi wa
watoto ...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment