| Huyu ni mtoto Glory Gadiel.........!!! ,ni mtoto wa CEO wa wazalendo 25 blog ,leo ametimiza Mwaka mmoja toka azaliwe. Mungu wa mbinguni amtunze ,kumpa afya na kumkuza katika Jina la Yesu. mimi baba yako na Mama yako Tunakupenda sana na tuna ahidi kukulea katika malezi mema na yenye kumtukuza Mungu. HAPPY BIRTH DAY GLORY..!!! |
TUZO YA MWALIMU NYERERE YAWANUFAISHA WAANDISHI 27
-
*Na.Mwandishi Wetu*
*Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Tuzo
ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeend...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment