| Huyu ni mtoto Glory Gadiel.........!!! ,ni mtoto wa CEO wa wazalendo 25 blog ,leo ametimiza Mwaka mmoja toka azaliwe. Mungu wa mbinguni amtunze ,kumpa afya na kumkuza katika Jina la Yesu. mimi baba yako na Mama yako Tunakupenda sana na tuna ahidi kukulea katika malezi mema na yenye kumtukuza Mungu. HAPPY BIRTH DAY GLORY..!!! |
NSSF: Wananchi Waliojiajiri Jiungeni, Jiwekeeni Akiba kwa Kesho Yenye
Uhakika
-
Dar es Salaam, Julai 10, 2026
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri
nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo il...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment