Huyu ni mtoto Glory Gadiel.........!!! ,ni mtoto wa CEO wa wazalendo 25 blog ,leo ametimiza Mwaka mmoja toka azaliwe. Mungu wa mbinguni amtunze ,kumpa afya na kumkuza katika Jina la Yesu. mimi baba yako na Mama yako Tunakupenda sana na tuna ahidi kukulea katika malezi mema na yenye kumtukuza Mungu. HAPPY BIRTH DAY GLORY..!!! |
Wajane wa Wanamuziki wa Rumba Tanzania: Walinzi wa Urithi wa Muziki wa
Kizazi Kilichopita
-
Katika historia ya muziki wa Tanzania, majina ya wanamuziki wakubwa wa
rumba hayajawahi kufutika kwenye kumbukumbu za mashabiki wa muziki. Lakini
nyuma y...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment