| Huyu ni mtoto Glory Gadiel.........!!! ,ni mtoto wa CEO wa wazalendo 25 blog ,leo ametimiza Mwaka mmoja toka azaliwe. Mungu wa mbinguni amtunze ,kumpa afya na kumkuza katika Jina la Yesu. mimi baba yako na Mama yako Tunakupenda sana na tuna ahidi kukulea katika malezi mema na yenye kumtukuza Mungu. HAPPY BIRTH DAY GLORY..!!! |
West Ham Wampa Heshima Bingwa wa Afrika Malick Diouf
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Beki kinda wa Senegal na bingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON25, El
Hadji Malick Diouf, ameendelea kuishi katika kilele cha f...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment