KESI YA GODBLESS LEMA YASOGEZWA MBELE - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


21 Sept 2012

KESI YA GODBLESS LEMA YASOGEZWA MBELE


 Msafara wa aliekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini ukitokea mahakamani kuelekea katika ofisi za chama
 Msafara ukipita njiani wakishangilia aliyekuwa mbunge wa arusha mjini -Chadema Mh,Godbless Lema,akipita kutoka mahakamani
Gari la MOVEMENT 4 CHANGE ukiwabeba washabiki waliotoka kusikiliza kesi ya aliekuwa mbunge wa jiji la Arusha,Mh. Godbless Lema.
 Msafara wa aliekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini-Chadema Godbless Lema  ukitokea mahakamani.
Gari ya aliyekua mbunge wa Arusha mjini(CHADEMA) Mh. Godbless Lema likiwa linasukumwa na mashabiki baada ya kutoka mahakamani.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad