WACHINA NA WA TANZANIA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


19 Sept 2012

WACHINA NA WA TANZANIA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM


 
Makamu wa Rais wa chama cha wafanyabiashara wa Uingizaji na Usafirishaji wa dawa na vifaa tiba kutoka China (CCCMHPIE) Meng Dongping akizungumza Sept 18,2012 katika mkutano wa wafanyabiashara wa Uingizaji na Usafirishaji wa bidhaa hizo kutoka nchini China amesema Tanzania ni nchi ya 11 katika ushirikiano wa kibiashara wa bidhaa hizo barani Afrika na nchi ya pili kwenye soko la bidhaa hizo wa nchi za EAC. ambapo katika kipindi cha miezi 6 cha mwaka 2012 ukuaji wa soko la bidhaa hizo nchini Tanzania umefikia dola za Marekani milioni 32.61 sawa na asilimia 47 .
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wa kuleta dawa na vifaa tiba kutoka kwa wafanyabiashara wa uingizaji na usafirishaji wa  madawa na  vifaa tiba kutoka China  wakifuatilia mada mbalimbali katika mkutano huo wa siku moja jijini Dar es Salaam Sept.19.2012.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wa kuleta dawa na vifaa tiba kutoka kwa wafanyabiashara wa uingizaji na usafirishaji wa  madawa na  vifaa tiba kutoka China  wakifuatilia mada mbalimbali katika mkutano huo wa siku moja jijini Dar es Salaam .
 
Makamu wa Rais wa chama cha Wafanyabiashara wa Uingizaji na  Usafirishaji wa dawa na vifaa tiba kutoka China (CCCMHPIE) Meng Dongping (kulia) akizungumza na  Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa nchini (TDFA) Haiiti Sillo katika mkutano huo wa siku moja jijini Dar- es -Salaam .
 
Washiriki wa mkutano huo wakifuatilia mada mbalimbalizilizotolewa na watoa mada wa mkutano huo.
 
Washiriki wa mkutano huo kutoka China na Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja.
(Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO) .

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad