Matukio Mbalimbali ya NANE NANE Jijini ,Arusha - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Wednesday, 8 August 2012

demo-image

Matukio Mbalimbali ya NANE NANE Jijini ,Arusha

IMG_1505
Hawa ni wana habari walipokuwa kwenye viwanja vya nane nane Arusha
IMG_1506
Hili ni banda la Mali Asili na Utalii
IMG_1509
Banda la maliasili na utalii
IMG_1510
Banda la Maliasili na Utalii kwenye mambo ya kale.
IMG_1511
Hili ni banda la Mali asili na Utalii kitengo cha Zamadamu
IMG_1514
Maelezo ya Utalii wa ndani
IMG_1492
Geti Kuu la kuingilia Nane Nane Arusha,unatakiwa kulipa Mkubwa 1000/Tshs na Mwanafunzi ni 500/=
IMG_1494
Hili ni banda la Hospitali ya Teule ya Selian Arusha
IMG_1496
Hili ni banda la shirika la posta
IMG_1497
Hili ni banda la LHRC
IMG_1498
Huku ni ndani ya banda la BOT
IMG_1500
Banda la BOT ,wananchi wakielezwa jinsi ya kutambua alama mbali mbali ndani ya noti za kitanzania.
IMG_1502
Mdau wa wazalendo 25 blog Ndugu Daniel Urioh na Justine Urioh wakipata maelezo mafupi ya noti ya Kitanzania
IMG_1503
 Hili ni banda la chuo cha ufundi Arusha  

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *