VUA GAMBA VAA GWANDA ,NA UZINDUZI WA MATAWI YAENDELEA ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 6 August 2012

demo-image

VUA GAMBA VAA GWANDA ,NA UZINDUZI WA MATAWI YAENDELEA ARUSHA

VAA+gamba
Hii inajieleza yenyewe ...VUA GAMBA VAA GWANDA...Hata usipokubali mdomoni, Rohoni utakubali tu.
IMG_1423
Samson Mwigamba (Mwenyekiti wa Mkoa) akizungumza na wakzi wa daraja mbili jijini Arusha,alipokuwa kifungua tawi la CHADEMA katika mtaa wa kati,Daraja mbili Arusha.
IMG_1424
Makamanda wakisikiliza kwa umakini ufunguzi hyuo wa tawi la CHADEMA ,mtaa wa kati Daraja mbili,jijini Arusha.
IMG_1425
Ajira kwa wa mama, SCARF ziliuzwa pia kwenye ufunguzi huo wa tawi la CHADEMA.
IMG_1429
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa ,akisisitiza jambo na kuwakaribisha viongozi wa mtaa wa kati, Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1434
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa ,akimkaribisha kiongozi wa mtaa wa kati Bw. Simon Kishangiro kwenye ufunguzi wa tawi lake ,eneo la  Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1437
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika ufunguzi wa tawi la CHADEMA ,mtaa wa Kati ,Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1439
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika ufunguzi wa tawi la CHADEMA ,mtaa wa Kati ,Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1441
VUA GAMBA ,VAA GWANDA ...Mwenyekiti akionyesha kadi ya mwanachama wa  CCM aliehamia CHADEMA.
IMG_1442
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa  Bw. Samson Mwigamba akipandisha bendera ya CHADEMA kwenye tawi la mtaa wa kati Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1444
Bendera ikiwa inapepea baada ya kupandishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa  Bw. Samson Mwigamba.
IMG_1445
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika ufunguzi wa tawi la CHADEMA mtaa wa Kati ,Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1446
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika ufunguzi wa tawi la CHADEMA mtaa wa Kati ,Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1447
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika ufunguzi wa tawi la CHADEMA mtaa wa Kati ,Daraja Mbili jijini Arusha.
IMG_1448
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika ufunguzi wa tawi la CHADEMA ,mtaa wa Kati ,Daraja Mbili jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *