Rais Dkt.Jakaya Kikwete amuapisha Waziri wa nchi Ofisi ya Rais asiyekuwa na wizara maalumu Profesa Mark Mwandosya Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


22 May 2012

Rais Dkt.Jakaya Kikwete amuapisha Waziri wa nchi Ofisi ya Rais asiyekuwa na wizara maalumu Profesa Mark Mwandosya Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.



Waziri wa nchi katika ofisi ya Rais asiye na Wizara maalum Profesa Mark Mwandosya akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Wapili kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.Na watatu kulia ni Karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu.

Profesa Mwandosya akipokea miongozo ya kazi baada ya kula kiapo ikulu.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza na kumtakia mafanikio Profesa Mwandosya muda mfupi baada ya kumuapisha ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsaidia Waziri wa nchi katika ofisi ya Rais asiye na Wizara maalumu Profesa Mark Mwandosya kushuka katika ngazi za ikulu baada ya kumuapisha.
Waziri Profesa Mark Mwandosya akiwa katika mazungumzo na Rais Dkt.Jakaya Kikwete muda mfupi baada ya kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad