Hata wakisema sana ,John Mnyika(CHADEMA)ni Mbunge Halali wa Jimbo La Ubungo. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 25 May 2012

demo-image

Hata wakisema sana ,John Mnyika(CHADEMA)ni Mbunge Halali wa Jimbo La Ubungo.



05_12_jh6jh7
 Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), John Mnyika akiwa amenyanyuliwa juu na wafuasi wa chama hicho baada ya kushinda kesi.
2+%25287%2529
IMG_5313
 Mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Mh. John Mnyika akiwa amebebwa juu juu na Wanachana wa Chama hicho pamoja na washabiki wake nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam leo mara baada ya kushinda kesi yake iliyokuwa ikimkabili kuhusiana na Ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
IMG_5012
 Mbunge wa ubungo John Mnyika katikati akiingia Mahakamani jana
IMG_4986
 Mh. Mnyika alipokuwa akiwasili Mahakamani jana asubuhi.
IMG_4999
IMG_4992
  Mnyika akipongezwa na Baadhi ya jamaa zake waliofika Mahakamani hapo.
IMG_5230
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akipeana mkono na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika.
IMG_5287
IMG_5271
IMG_5295
IMG_5339
IMG_4973
IMG_4931
  Baada ya kutolewa kwa hukumu na Jaji Upendo Msuya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wapenzi na mashabiki wa Chadema walilipuka kwa furaha.
IMG_5214
 Baadhi ya wafuasi wa CCM wakiwa Mahakamani.
IMG_5098
Baadhi ya Waandishi wa Habari, wa pili kulia ni Happiness Katabazi kutoka Tanzania Daima
nje
Baadhi ya wafuasi wa Chadema wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania jana asubuhi katika kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM, Hawa Ng'umbi.
IMG_5414
 Askari Polisi wakihakikisha usalama upo wa kutosha katika njia walizokuwa wakipita wapenzi wa Chadema kusherehekea ushindi wa Mbunge wao.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *