MSHAMBULIAJI WA KIMATAIFA WA MABINGWA WA SOKA TANZANIA BARA SIMBA SC, PATRICK MUTESA MAFISANGO NA MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA YA RWANDA AMEFARIKI DUNIA LEO ALFAJIRI KWA AJALI YA GARI, WACHEZAJI WA SIMBA WAFURIKA MUHIMBILI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 17 May 2012

demo-image

MSHAMBULIAJI WA KIMATAIFA WA MABINGWA WA SOKA TANZANIA BARA SIMBA SC, PATRICK MUTESA MAFISANGO NA MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA YA RWANDA AMEFARIKI DUNIA LEO ALFAJIRI KWA AJALI YA GARI, WACHEZAJI WA SIMBA WAFURIKA MUHIMBILI



sango
 Marehemu Patrick Mafisango enzi za uhai wake
IMG_2249
 Ramadhabni Wasso akiwa na huzuni.
IMG_2230
 Beki wa zamani wa klabu ya Simba, Ramadhani Ramadhani Wasso akiwa akiwa na huzuni baada ya kufika katika chumba cha kuhifadhia maiti asubuhi hii.
IMG_2205
 Mshambul;iaji wa Simba Haruna Moshi 'Boban' akiingia katika chumba cha kuhifadhia maiti asubuhi hii kuangalia mwili wa mshambuliaji wa Simba Patrick Mafisango aliyefariki kwa ajali ya gari.
IMG_2191
 Bobani akiwa na Said Kokoo
IMG_2215
  Ramadhani Wasso akijaribu kuchungulia kupitia mlango kuangalia mwili wa Patrick Mafisango kupitia uliokuwa umehifadhiwa katika chumba cha maiti asubuhi hii.
477695_415627911804705_100000724998998_1251128_717874454_o
  Gari lilosababisha kifo cha Mshambuliaji wa kimataifa wa mabigwa wa soka Tanzania na Bara Simba SC,Patrick Mutesa Mafisango Leo Alfajiri.
 Picha na Mdau Francis Dande-Muhimbili

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *