Hali si Hali Zanzibar. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


27 May 2012

Hali si Hali Zanzibar.



Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) liliopo mtaa wa Kariakoo mjini Unguja limechomwa moto jana usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana.
Gari la Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bishop Dickson Maganga, lililochomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa jana katika eneo la Kariakoo nje ya kanisa hilo ambapo uharibifu wote unaelezwa kuwa umegharimu shilingi millioni 120.
(Picha/Zanzibar Yetu)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad