Mbowe akiwa anatoa shukurani zake kwa wananchi wa jimbo la Arumeru Mashariki kwa kumpa kura kijana wake Nassari.
Mzee ndessamburo(Ndessa Pesa) mbunge wa jimbo la moshi mjini akiwa anahutubia wananchi waliojitokeza kwenye sherehe hizo ,pia aliahidi kuchimba visima viwili vya maji .
kila mmoja alikuwa na hamu ya kumuona mgombea huku wakiwa wanaburudika na vinywaji vya aina mbalimbali. |
Full chademaaaaaaaaaaaaaa
No comments:
Post a Comment