WANANCHI WA MIRONGOINE NA WA KATA YA MOSHONO,WAANDAMANA HADI KWA MKUU WA MKOA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 7 March 2012

demo-image

WANANCHI WA MIRONGOINE NA WA KATA YA MOSHONO,WAANDAMANA HADI KWA MKUU WA MKOA

921_1945

 Wananchi wa Mirongoine  pamoja na wamoshono wakiwa na mabango yao mbele ya ofisi ya mkuu wa mkoa leo wakati walipoandamana kudai eneo la jeshi la 977 jwtz.
921_1955
 Mmoja wa kiongozi wa wananchi hao walioandamana hadi kwa mkuu wamkoa wa Arusha aliyejulikana kwa jina la  Emanuel Masamaki akiwa anatoa malalamiko yao mbele ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Bw. Magessa Mulongo pamoja na mkuu wa wilaya ya Arusha hivi leo.
921_1989
Wananchi wakionyesha mabango yao kuashiria kutokukubali JWTZ  kuendelea kuishi eneo hilo, wanachi hao walidai kuwa kikosi 977 JWTZ ndicho kilicho wakuta wao ,hivyo wao waondoke mapema.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *