MKALI WA FACEBOOK KUPIGA SHOO KESHO VIWANJA VYA POSTA KIJITONYAMA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 9 March 2012

demo-image

MKALI WA FACEBOOK KUPIGA SHOO KESHO VIWANJA VYA POSTA KIJITONYAMA


FB
Msanii wa Mziki kutoka South Africa, Cleopas Monyepao (DJ Cloe) kulia akizungumza na waandishi wa habari, Dar es salaam jana kuhusu onesho lake la leo litakalofanyika katika viwanja vya Posta Kijitonyama kushoto ni Msanii aliyeongozana nae Dumiseni Mkihanya
OMMY
Msanii wa Mziki wa kizazi kipya nchini, Omary Nyembo  A.K.A Ommy Dimpoz kushoto akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuhusu Onesho lake litakalofanyika katika viwanja vya Posta Kijitonyama kulia ni msanii kutoka, South Africa, Cleopas Monyepao (DJ Cloe) na Dumiseni Mkihanya na Meneja wa Kinywaji cha Savana, Diana Musheruzi.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *