MVUA KUBWA ILIVYOSABABISHA MAAFA KARATU MKOANI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

1 Dec 2011

MVUA KUBWA ILIVYOSABABISHA MAAFA KARATU MKOANI ARUSHA

Lori la mizigo lenye namba T190 AKW lililokuwa limebeba mitambo ya kutengeneza barabara likitoka Engaruka kwenda Arusha likiwa limezama kwenye maji.
 Baadhi ya magari yaliyokumbwa na mafuriko hayo
Hali ya mvua inatisha sana hapa
Mfanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR), Augustino Masige, aliyekuwa akiendesha gari namba T573 AHW, akitoka Arusha kwenda Musoma, akisimama kando ya gari lake lililosukumwa na maji umbali wa mita 50 toka barabarani.
 
Mwili wa marehemu Samweli Julius ambaye alikuwa ni msaidizi wa mitambo ya kutengeza barabara, ukiwa umenasa juu ya mti
Baadae polisi wakatoa idhini ya mwili wa Samweli kutolewa katika eneo ulipopatikana.

Hivi ndivyo kipande hicho cha barabara kilivyomegwa na maji.
  Polisi walifika eneo la tukio na kufanya ukaguzi wa matukio hayo ya ajali.
Wananchi wakishuhudia maafa yaliyosababishwa na mafuriko hayo.

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633