ZITTO KABWE AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Nov 2011

ZITTO KABWE AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Mh. Zitto Kabwe.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Mh. Zitto Kabwe, aliyekuwa amelazwa hospitali nchini India kwa zaidi ya wiki tatu kwa matibabu, amerejea nchini baada ya kupata nafuu na anatarajiwa kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge linaloendelea hivi sasa mjini Dodoma, kuanzia leo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad