Shughuli nzima ya Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta ilifungwa na mkali Ludacriss kutoka nchini Marekani, kama unavyomuona katika picha hii akiimbisha mashabiki wake hawapo pichani, wakati aliposhusha burudani kabambe katika viwanja vya Leaders usiku wa kuamkia Jpili jijini Dar es salaam. Oooya Oya oya Starehe Gharamaa!, Oooya Oya oya Starehe Gharamaaaa ni vijana wa Tiptop Connection hawa wakishabulia jukwaa.
ML Chriss kutoka Choice FM na Christiane Mosha aka Seven mwakilishi wa MTV hapa nchini wakishoo love katika picha.
Ulinzi ulikuwa ni wa kiwango cha hali ya juu kama unavyoona katika picha hii wanausalama wakiwa tayari kabisa kukabiliana na vurugu zozote ambazo zingeweza kutokea.
Juma Nature akicheza na meneja wake jukwaani anayejulikana kama Kiboya mara baada ya kupokea tuzo yake akiwa ni mmoja wa wasanii waliotisha kwa muda mrefu.
Mwanamuziki Diamond akiimba kwa pamoja na Duly Sykes katika tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo.
Kutoka kulia ni Mdau Emilian Rwejuna, Mkurugenzi mtendaji wa SBL Richard Wells, Meneja wa kinywaji cha Serengeti Lager Allan Chonjo na Mkurugenzi wa Masoko SBL Ephraim Mafuru, wakiwa wameshikilia Golden Moments zao za Serengeti Lager
Kutoka kulia ni Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko SBL, Joseph Kusaga Mkurugenzi wa kampuni ya Clouds Entarteiment, Omar kutoka Push Mobale, Caroline Ndungu kutoka SBL na mdau wa blogu Emilian Rwejuna.
Mkurugenzi mtendaji wa SBL Richard Wells akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenziwa Mawasiliano Kampuni hiyo Teddy Mapunda.
Mkurugenzi wa Mawasiliano SBL Teddy Mapunda kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Bakari Machumu Mhariri Mkuu wa gazeti The Citizen katikati nia Paul Owere Mwandishi mwandamizi gazeti la The Citizen.
Carol Mkurugenzi wa R&R kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Mshiriki wa Project Fame All Stars Peter Msechu wakipata kinywaji cha Serengeti Lager katika tamasha la Serengeti Fiesta jana.
Picha na: FULLSHANGWE BLOG
No comments:
Post a Comment